Tuesday 29 October 2013

LIGHT AND HOPE-VILE NAIFEEL Part 2





Ilibidi niifanye vile naifeel,

Siezi sahau maulana ndo alinipa hi skill

Mistari saa zingine hujazana na kuspill

Over kama chai kwa kikombe ama

Uji kwenye guard tafadhali msiniombe,

Ni roho yake sio influence ya pombe

Tupendane tafadhali tusigombe –zane

Tumekuwa mandugu  miaka mingi labda karne

Nakukumbuka hadithi za babu zile za kale

Msiwe na shaka my friends kuna matumaini

Yesu kristo ndio mwangaza kamili


Kuna mwangaza na tumaini

Usitence mtu wangu na kukatwa ini,

Unadai nini ?wasi wasi kwa nini?

Hukumbuki tulifundishwa yamkini,

Alifufuka siku ya tatu ,baada ya pili,

Kwa ajili alitupenda sana ,

Haezi mind hata kama umeshikana ,

Yu tayari saa zote mungu wangu ,yani rabana,

Boss tia bidii inabidi kukazana

Ju aliye above alinionyesha love

Yesu Kristo ndio true light and hope
Tumaini na mwangaza yani Light and Hope,

Nime baini ni kutight lakini nitacope,

Ameichambua roho yangu kama Microscope,

Shughuli za noti na BOP,

Dhambi zangu nadrop,

Na umwere KUDROP

Siintend kustop

Na baraka Kupop,

Ndio maana na PROPOSE

Kumantain NENO Nikicompose,

Yesu kristo of course

Ndio tusiende OFF-cause

Ju aliye above alinionyesha love

Yesu Kristo ndio light and hope




Imebidi tupige raundi leo tuwe marafiki

Kutiana smile ,wakati wa dhiki,

Utamu wa uki,

Kwani hukumbuki,

Light and hope ,mimi sistuki,

Hata wakijaribu eti kunimamluki,

Kukiget spooky,

Siezi toka nduki ,

Naifanya roho safi ,hakuna haja ya chuki,

Ju aliye above alinionyesha love

Yesu Kristo ndio light and hope

No comments:

Post a Comment